Ticker

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Watanzania Ujerumani Kusherekea Miaka 49 ya Muungano



Watanzania Ujerumani kusherekea miaka 49 ya Muungano
UMOJA wa Watanzania Ujerumani (UTU) unatarajia kufanya sherehe za miaka 49 ya Muungano
wa Bara na Visiwani, kama linavyoonekana tangazo unatarajia kufanya sherehe hizo Mjini Kolon,
Siku ya Jumamosi 27.04.2013. Watanzania wote na marafiki wa Tanzania mnaoishi ndani na nje Ujerumani mnakaribishwa.
“Umoja ni Nguvu! Utengano Ni Udhaifu” Chereko Chereko na mwenye mwana Watanzania jitokezeni kwa wingi. Kwa mawasiliano zaidi at kamati.utu@googlemail.com
simu +49(0)1737363422

Post a Comment

0 Comments